Majeruhi: Kiungo wa Manchester United, Jesse Lingard akiondoka kwa msaada wa magongo kutoka hospitali ya Bridgewater, ambako alikwenda kutibiwa mguu wake wa kulia baada ya kuumia juzi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Swansea City Uwanja wa Old Trafford. United ilifungwa 2-1 na beki huyo anaungana na majeruhi wengine wa klabu hiyo mwanzoni mwa msimu, Jonny Evans, Rafael, Luke Shaw, Antonio Valencia, Danny Welbeck, Anderson na Michael Carrick.
Jimmy Butler Wants to End NBA Career with Heat; Eyes Brazilian Basketball
League
-
Six-time All-Star forward Jimmy Butler wants to end his career with the
Miami Heat, but he'd definitely be up for playing for Flamengo in Brazil's
premier…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment