KIUNGO Mholanzi, Leroy Fer amekamilisha usajili wake kuhamia QPR kutoka klabu ya Championship, Norwich.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24, ambaye ametua kwa Pauni Milioni 7, amesaini Mkataba wa miaka mitatu na kikosi cha Harry Redknapp.
Fer alicheza kwa msimu mmoja Uwanja wa Carrow Road baada ya kujiunga na The Canaries kutoka timu ya Eredivisie, FC Twente.
Fer akisaini Mkataba mjini London akiwa na mkewe Xenia Schipaanboord
0 comments:
Post a Comment