• HABARI MPYA

    Monday, September 01, 2014

    FALCAO AWALI MANCHESTER TAYARI KWA VIPIMO VYA AFYA

    Mshambuliaji Radamel Falcao (kiti cha nyuma) akiwasili viwanja vya mazoezi vya Manchester United kwa ajili ya vipimo vya afya baada ya kuhamishiwa klabu hiyo kwa mkopo kutoka Monaco. Picha ya chini akiwa kwenye ndege baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Manchester.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FALCAO AWALI MANCHESTER TAYARI KWA VIPIMO VYA AFYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top