Kikosi kipya cha Manchesterpamoja na kocha Louis van Gaal na benchi lake lima la ufundi mstari wa nyuma kutoka kushoto ni Jonny Evans, Marouane Fellaini, Chris Smalling, Tyler Blackett, Marcos Rojo* na Phil Jones, mstari wa tatu ni Antonio Valencia, Anderson, Daley Blind*, Robin van Persie, Michael Carrick, James Wilson, Andreas Pereira na Ashley Young, mstari wa pili ni Gary Walker*, Marcel Bout*, Dr Steve McNally, Luke Shaw*, Ben Amos, Dave De Gea, Anders Lindegaard, Angel di Maria*, Frans Hoek*, Alec Wylie na Neil Hough na wa mbele ni Rafael, Ander Herrera*, Radamel Falcao*, Albert Stuivenberg*, Wayne Rooney, Louis van Gaal*, Darren Fletcher, Ryan Giggs, Juan Mata, Adnan Januzaj na Jesse Lingard. Wote waliowekewa nyota ni wapya
Jumla ya wachezaji 17 na viongozi wameihama klabu hiyo tangu mwisho wa msimu wa 2013-14 chini ya kocha David Moyes - United ikimaliza nafasi ya saba katika Ligi Kuu England. Mstari wa nyuma ni Danny Welbeck, Phil Jones, Chris Smalling, Jonny Evans, Marouane Fellaini, Rio Ferdinand, Michael Carrick na Robin van Persie, mstari wa tatu Masseur Garry Armer, mtathmini viwango vya wachezaji Paul Brand, mkuu wa idara ya fiziki Tony Strudwick, Antonio Valencia, Darren Fletcher, Wilfried Zaha, Adnan Januzaj, Fabio da Silva, mchua misuli Rod Thornley, mtunza vifaa Alec Wylie, na daktari wa viungo, Neil Hough, mstari wa pili mtunza vifaa msaidizi Ian Buckingham, daktari wa viungo Rob Swire, Dk Steve McNally, Alexander Buttner, Sam Johnstone, Anders Lindegaard, David de Gea, Ben Amos, Ashley Young, kocha Phil Neville, mchua misuli Andy Caveney na kocha wa makipa Chris Woods. Mstari wa mbele ni Shinji Kagawa, Rafael da Silva, Anderson, Nani, kocha Msaidizi Steve Round, Ryan Giggs, Kocha Mkuu David Moyes, Nemanja Vidic, kocha Jimmy Lumsden, Patrice Evra, Javier "Chicharito" Hernandez, Tom Cleverley na Wayne Rooney. Wote ambao picha zao si za rangi wameondoka.
0 comments:
Post a Comment