VALENCIA AIFUNGIA WEST HAM IKITOA SARE YA 2-2 NA HULL CITY
Mshambuliaji wa West Ham United, Enner Valencia akifumua shuti la umbali wa mita 20 kuifungia timu yake bao katika sare ya 2-2 na Hull City jana mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham lilifungwa na Diafra sakho, wakati mabao ya Hull yalifungwa na Abel Hernandez na Mo Diame.
ALL IN mit Salih Özcan
-
„Gestern war geil“, sagte unsere Nummer 6 am Tag nach dem Halbfinal-Einzug
in der UEFA Champions League. Aber wir blicken mit Salih Özcan auch voraus
– auf...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment