Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
Why The Dolphins were forced to tape over controversial medical marijuana
sponsor logo - and how the plan came unstuck in humid Darwin conditions
-
The Dolphins have covered up their jersey sponsor, Alternaleaf, a clinic
that prescribes medical cannabis, following legal advice while the
Therapeutic Goo...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment